|
Dr. Husein Abdul-Swabuur ambae ni Mkurugenzi wa Makumbusho ya utamaduni yaliyopo Fistwaat amesema kuwa atayajumuisha maonesho ya filamu yatakayofanyika ktk makumbusho hayo ambayo yanatarajiwa kufunguliwa mwezi wa septemba ijayo mwaka huu kwa kuelezea mapinduzi ya 25 Januari ambayo yamefungua ukufasa mpya wa kihistoria kwa raia wa Misri
|
|
2011/
7/
28
|
|