Balozi wamambo yakigeni wanchi za ulaya ame toa wito kwa kusini mwa sudani na kaskazini kurejea upya katika meza ya mazungu mzo kati yao haraka sana .wakati huo huo waziri huyo ame pongeza mafikilio ya amani kati ya pande mbili na ame karibisha msimamo uliofikiwa juu ya maamuzi ya baraza lausalama la kimataifa kuhusiana na kuweka ramani ya amani itakayo weza kumaliza zoezi la kiuadui kati yao na kuunza upya kuzungu mzia masuala ambayo hayaja patiwa ufumbuzi kwa muda wa miezi mitatu.
|