polisi nchini kenya wametoa tahazari zidi ya ugaidi ,yamekuja hayo baada ya masha mbulizi yaliyo fanywa kati ya moja yakanisa jijini naiorobi kipindi cha mwezi uliopita na kupelekea kuwawa kwa mtu mmoja na wengine kumi na wasita kujiruhiwa.kiongozi wajeshi la polisi nchini kenya ameeka ya wazi yakuwa mashambulizi hayo ambayo yalifnywa nawatu wenye kushukiwa ni mwenye kuungana na mtandao waa alkaida ambao wana fanyishwa mazoezi na kosi lenye msimamo mkali ambalo ni kundi la boko haramu