::::


waziri wamambo yakigeni nchini misri bwana kaamil aamru afanya mazungumzo namwenzake waithopia,

waziri wamambo ya kigeni nchini misri bwana kaamil  amru amefanya mazungumzo pamoja na mwenzake wa ithopia  yaliyo jikita kuhusiana na hali halisi ilivyo nchini suudan.bwana kaamil katika mazungumzo yao alielezea mtazamo wa taifa la misri katika kupambana na hali halisi ilivyo nchini suudan  ikiwa ni wigo wa kuleta kivuli cha amani.kwa upande wake waziri wa mambo ya kigeni nchini ithopia  ame zipongeza jitihada za misri  katika kuleta upa tanisho katika pande mbili.kusini mwa sudani na kaskazini hususa kwa yale ambayo hayaja patiwa ufumbuzi.


 

 

 
 

 
Histori Kwa Kifupi :: Habari :: Michezo :: Sanaa :: Utalii :: maswala ya kimataifa :: wasiliana na sisi